Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wazee wa Zanzibar waliofika katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume kabla ya kuondoka na kuelekea nchini Ufaransa leo 09 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango pamoja na Rais wa Zanzibar Mhe. Husein Ali Mwinyi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume Zanzibar kabla ya kuondoka kuelekea Nchini Ufaransa leo tarehe 09 Februari, 2022.
WAKULIMA WA KIPANDE-NKOAVELE KUONGEZEWA MITA 1000 YA MIFEREJI YA UMWAGILIAJI
-
WAKULIMA zaidi ya 650 katika kijiji cha Kipande-Nkoavele, Halmashauri ya
Meru katika Mkoa wa Arusha kunufaika na mita 1000 za mifereji ya
umwagiliaji kwa...
56 minutes ago
0 Comments