Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said (katikati) akizungumza baada ya utiaji wa saini ya Hati ya makubaliano na Mkurugenzi wa Qatar Fund For Development Bw.Khalifa Al Kuwari (kulia kwake) na (kushoto kwake) Balozi wa Tanzania Nchini Qatar Mhe. Balozi Mahadhi Juma Maalim, kuwawezesha kuwarejesha Skuli wanafunzi walioacha kuhudhuria masomo katika Skuli za Zanzibar.
MUHIMBILI, CAMBRIDGE WAZINDUA UTAFITI WA VINASABA KULETA MAPINDUZI KATIKA
TIBA YA SARATANI YA TEZI KWA WATOTO AFRIKA
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha
Cambridge cha Uingereza, wameaanzisha utafiti wa vinasaba unaolenga
kuboresha mati...
6 hours ago
0 Comments