RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtuliza Mama Anna Philipo mkaazi wa Chukwani Mkoa wa Mjini Magharibi mwenye mgogoro wa Nyumba yeke kutakiwa kuvunjwa,ambapo tayari hatua za kutatua tatizo hilo likifanyiwa kazi .[Picha na Ikulu] 29/09/2021.
SERIKALI YAPONGEZA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA KWA UJENZI WA KARAKANA YA
UZALISHAJI VIPURI
-
Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Arusha
SERIKALI imeipongeza Menejimenti na uongozi wa chuo cha ufundi Arusha
(ATC), kutokana na bunifu mbalimbali zinazoende...
9 hours ago
0 Comments