Msanii wa Muziki wa Bongo Flava Kondeboy ametowa burudani kwa Wananchi wa Zanzibar na Mashabiki wa mchezo wa Soka Zanzibar katika mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi uliofanyika jana usiku katika uwanja wa Amaan Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa mikwaju ya peneti 4-3.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
9 hours ago
0 Comments