Waziri wa nchi, Afisi Ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe Masoud Ali Mohammed amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Mjini, Bw Said Ahmada Juma na Mkurugenzi wa Manispaa magharibi "A" Nd. Amour Ali Mussa na kuagiza kuanza kwa taratibu za uchunguzi juu ya tuhuma mbalimbali ikiwemo ubadhirifu wa fedha za mali ya Umma.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
2 days ago

0 Comments