Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha Mapinduzi Mhe.dk HusseinMwinyi akiwapungia mkoni na kuwasalimia Wajumbe wa Kongamano Maalum lililoandaliwa na Umoja wa Wake wa Viongozi kwa kushirikiana na UWT Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Kichama Amani Jijini Zanzibar.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
20 hours ago
0 Comments