Mlinzi wa Marikiti Kuu ya Darajani Jijini Zanzibar akiwa katrika zoezi la kuwapima joto Wananchi wanaoingia katika soko hilo kufuata mahitaji yao na kuhakikisha wakiwa wamevaa barkoa ili kujikinga na maambukizo ya Virusi vya Corona. Kama walivyokutwa na camera yake wakjiwa katika zoezi hilo nje ya soko hilo lilkiwa limezungushiwa uzio
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
1 day ago






0 Comments