Upokeaji wa vyakula vya msaada kwa wahanga walioathirika na maafa Jimbo la Uzini ulipowasili hapo Halmashauri kwa ajili ya kugawiwa kwa waathirika wa maafa ya mvua za hivi karibuni
Gari la misaada likijiandaa kushusha sehemu ya misaada hiyo afisi za Halmashauri ya Wilaya ya kati
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
17 hours ago



0 Comments