Wasamaria wakimsaidi mjasiriamali aliyepata ajali ya kuanguka na pikipiki yake akiwa na tenga la mikate mkatika makutano ya barabara ya mkunazini na michezani kama wanavyoonekana wakiwa katika zoezi hilo, ajali hiyo imetokea juzi mpanda pikipiki huyo hajapata madhara katika tukio hilo la ajali.
MWENYEKITI WA WAZAZI TAIFA AWAASA VIONGOZI WA CCM NA JUMUIYA ZSKE KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
Na Victor Masangu, Kibaha
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amewaasa
viongozi wa chama cha mapinduzi (CCM) ngazi za Wilaya p...
3 hours ago

0 Comments