Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar na kutowa tahadhari kwa Wananchi na Jamii kwa kuhusiana na Virusi vya maradhi ya Corona, wafuate maelekezo ya kujikinga na kuepusha mikusanyiko isiyo kuwa ya lazima.
PRESIDENT DR. MWINYI: ZANZIBAR AND INDIA TO STRENGTHEN COOPERATION IN
EDUCATION, TRADE AND TECHNOLOGY
-
The President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Hon.
Dr. Hussein Ali Mwinyi, has thanked the Government of India for its
continued e...
2 hours ago
0 Comments