Wafanyabiashara ya Samaki katika Marikiti Kuu Darajani Jijini Zanzibar wakiwa katika harakati za kumpasua Samaki aina ya Papa aliyevuliwa katika bahari ya Mkoa wa Kusini Unguja akiwa na uzito karibu kilo 150.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
13 hours ago



0 Comments