LICHA ya kuongezwa kwa siku 20 za nyongeza kwa ajili ya usajili walaini za simu za mkononi nchini Tanzania, wananchi wamehamasika kwa wingi kusajili laini zao katika miemvuli mbali mbali katika mji wa chake chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
St Anne Marie Academy Yaahidi Kuendelea Kusomesha Waliofiwa Na Wazazi
-
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna
Tibaijuka amewataka wakaguzi wa shule kutenda haki kwa shule...
1 hour ago

0 Comments