Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akisalimiana na Maafisa wa Jeshi la Magereza baada ya kufika katika Gereza la Kitai.Naibu Waziri yuko mkoani Ruvuma kutembelea shamba la gereza hilo ambalo ni moja kati ya mashamba kumi ya magereza nchini yaliyoteuliwa kutekeleza agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kutaka magereza yajitosheleze kwa chakula cha wafungwa.
KUANZIA SASA WATAKAONG'ATWA NA NYOKA MUHEZA KUTIBIWA BURE
-
📍Ni baada ya MwanaFA kutoa fedha za kugharamia matibabu hayo
MUHEZA:
MBUNGE wa Muheza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Mhe. Hami...
7 hours ago
0 Comments