Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Riziki Pembe Juma akiwa na mwanafunzi Jokha, aliefaulu michepuo ya ufundi kutoka Skuli ya Msingi Madungu alipofika kuikagua Skuli hiyo, kushoto ni Afisa Mdhamini Wizara ya Elimu Pemba Mwalim Mohammed Nassor Salim na kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Dkt Idrisa Muslim Hija.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
1 day ago

0 Comments