Wasanii kutoka Nchi mbalimbali wanaonda Kikundi cha Swahili Culture, wakitowa burudani katika Jukwaa la Sauti za Busara katika ukumbi wa Mambo Club Ngome Kongwe Zanzibar, wakati wa Onesho hilo maalum lililoundwa na Manguli hao wa Muziki kutoka Nchini mbalimbali wanaoshiriki Tambasha la Sauti za Busara Zanzibar.
Washindi Tuzo ya Kiswahili ya Safal kujulikana Ijumaa
-
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa ALAF Limited, Hawa Bayumi
(katikati) akitangaza orodha fupi ya waandishi waliofanikiwa kutinga
fainali ya T...
11 hours ago
0 Comments