Ujenzi wa Barabara mpya kwa kiwango cha lami katika maeneo mbalimbali kisiwani Pemba,Mmoja ya Mradi huo wa barabara ya ikiwa katika makutano ya Mabao ikitokea Ole na kuelekea Kengeja na Uwanja wa Ndege wa Karume Chakechake.Pemba ikiendelea na ujenzi wake kama inavyoonekana picha makutano ya barabara hiyo maeneo ya mzunguko wa mabaoni.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
13 hours ago
0 Comments