Mradi wa Ujenzi wa Mitaro ya Maji Machafu katika maeneo ambayo hujaa maji wakati wa kipindi cha Mvua za Masika katika maeneo ya Zanzibar.Tayari tatizo hilo limemepatikana ufumbuzi wake kwa kuendelea na ujenzi huo wa Mitaro hiyo unaofanywa kupita Wajenzi wa Kampuni ya Kichina ya CRJE wakitekeleza ujenzi huo katika moja ya eneo hilo katika sehemu ya sebleni ambalo hujaa maji na kuwalazimu Wananchi kuhama makazi yao.
TAARIFA YA KUPOTEA KWA FARAJA NICODEMU MWALONGO MIAKA 33
-
Kwa masikitiko makubwa, familia ya Mr. & Mrs. Boniventura Mwalongo wa
Nsalaga, Mbeya, inatangaza kupotea kwa mdogo wao anayefahamika kwa jina la
Faraja N...
6 hours ago
0 Comments