Timu shiriki Michuano ya Ligi Kuu ya Mchezo wa Netiboli Kanda ya Unguja wakipita mbele ya Mgeni Rasmin Mjumbe wa Kamati ya Olimpiki Tanzania na Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Bi. Tabia Maulid, uzinduzi huo umefanyika katika viwanja vya Gymkhana Zanzibar.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
23 hours ago
0 Comments