Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akihutubia katika Kongamano la Biashara Kati ya Tanzania na China kwenye ukumbi wa hoteli ya Westin jijini Beijing nchini China, Septemba 2, 2018. Makampuni yapatayo 80 yalishiriki katika Kongamano hilo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WAKULIMA WA KIPANDE-NKOAVELE KUONGEZEWA MITA 1000 YA MIFEREJI YA UMWAGILIAJI
-
WAKULIMA zaidi ya 650 katika kijiji cha Kipande-Nkoavele, Halmashauri ya
Meru katika Mkoa wa Arusha kunufaika na mita 1000 za mifereji ya
umwagiliaji kwa...
2 hours ago
0 Comments