Muonekano wa Viwanja Vya maMao Zanzibar baada ya kukamilika Ujenzi wake ukiwa na viwanja vya ndani na viwili vya mpira wa miguu vimekamilika ujenzi huo na kwa sasa iliobaki na hatua za umaliziaji wa maeneo na kufanya usafi ili kuweza kufikia tamati ya ujenzi huo uliofanya na Kampuni kutoka China.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
1 day ago
0 Comments