IPO haja kwa Serikali Mapinduzi ya Zanzibar kutenga viwanja maalumu kwa ajili ya Michezo ya Watoto, ambao wameanza kuinukia katika michezo mbali mbali, Pichani mmoja ya watoto wa Kangagani akionyesha umahiri wake wa kupiga gema za Nyuma huku akiruka juu huku wenzake wakimtazama.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA
DKT. NUMBI: LCCF 2026 NI JUKWAA MUHIMU KUPANUA FURSA ZA WATANZANIA KATIKA
SEKTA YA MADINI
-
📍MWANZA
Mwenyekiti wa Kamati ya Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya
Madini kutoka Tume ya Madini, Dkt. Theresia Numbi, amesema Jukwaa la Tano...
8 hours ago
0 Comments