Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa ya Zanzibar wakiwa katika zoezi la kupaka rangi alama za kuvukia watembea kwa miguu katika eneo la Mkunazini Unguja alama hizo zimekuwa zimefutika na kutoonesha kwa watumiaji wa barabara hiyo hasa magari
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
23 hours ago
0 Comments