Wafanyakazi wa Kampuni ya Kichina ya STECOL inayosimamia Mradi wa usambazaji
maji safi na salama katika maeneo ya mbalimbali ya Mji wa Zanzibar
wakisambaza mabomba hayo katika mitaa ya Miembeni Unguja, wakiwa katika eneo la Miembeni jitini wakitandaza mpira wa kusambazia maji katika mitaa hiyo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu wakati akiwa katika mitaa mbalimbali ya Zenj.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
1 day ago
0 Comments