Msongamano wa magari katika barabara ya Mji Mkongwe Zanzibar wakati wa mchana huu zikiwa katika msongamano ambao kwa kiasi kikubwa umesababishwa na kuanze ujenzi wa jengo la Ajabu pamoja na bara bara ya Mji Mkongwe kuwa ni ya njia moja tu - One Way Traffic
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
9 hours ago
0 Comments