Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati akielezea maandalizi kabambe ya Tamasha la pasaka linalotarajia kufanyika Aprili mosi katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza na baadae tamasha hilo April 2,2018 tamasha hilo litafanyika katika uwanja wa Halmashauri ndani ya Bariadi mkoani Simiyu.
KUANZIA SASA WATAKAONG'ATWA NA NYOKA MUHEZA KUTIBIWA BURE
-
📍Ni baada ya MwanaFA kutoa fedha za kugharamia matibabu hayo
MUHEZA:
MBUNGE wa Muheza na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Mhe. Hami...
4 hours ago
0 Comments