Wachezaji wa Timu yac Okapi kutoka Kisiwani Pemba wakiwa katika mazoezi yao ya kujitayarisha na mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar Nane Bora na Timu ya Jangombe Boys inayotarajiwa kufanyika katika uwanja huo siku ya jumatano jioni Wakiwa chini ya Kocha wao Mkuu Hafidh Shoka.
NGORONGORO NI ZAIDI YA KRETA.
-
Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro inaendelea kuvitangaza vivutio vya
utalii vilivyopo ndani na nje ya Ngorongoro ili kuidhihirishia dunia kuwa
eneo ...
2 hours ago
0 Comments