Mvua za masika zinazonyesha katika maeneo mbalimbali ya Unguja tayari yameshaaza kuleta athari kwa majengo katika sehemu hizi kwa kuchukuliwa mchanga na kufanya mmomonyoko wa ardhi na kuleta madhara kwa majengo hayo kama inavyoonekana moja ya majengo ya Skuli ya Mtoni likiwa katika athari hiyo ya mvua za mazika kwa kuchukuliwa mchanga wa eneo wa mejengo hayo na maji ya mvua. na kuhatarisha ukuta wa moja ya madarasa ya skuli hiyo.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
2 days ago
0 Comments