Wapenzi wa Timu ya Simba Zanzibar tawi la Amani milingotini Zanzibar wakifuatilia mchezo wa Timu yao ilipokuwa ikicheza na Timu ya Afrika Lyon, mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam Timu yao imefanikiwa kuifunga Timu ya Afrika Lyon kwa bao moja lililofungwa mchezao Laudit Mavungo katika dakika ya 57 ya mchezo huo kipindi cha pili. Na kufanikiwa kuingia Robo Fainali ya Michuano hiyo ya Kombe la Shirikisho (TFF). Timu ya Simba imekuwa timu ya kwanza kuingia katika hatua ya robo fainali ya michuano hiyo.
MWENYEKITI WA WAZAZI TAIFA AWAASA VIONGOZI WA CCM NA JUMUIYA ZSKE KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
Na Victor Masangu, Kibaha
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amewaasa
viongozi wa chama cha mapinduzi (CCM) ngazi za Wilaya p...
11 hours ago
0 Comments