LICHA ya Serikali kutaka kujenga viwanja vya michezo kila Wilaya, lakini ipo haja ya kuandaa mazingira mazuri ya kukuza soka la vijana, Pichani watoto wakicheza mpira katika Uwanja wao ambao husubiri hadi maji ya bahari kukupwa na kutoka ndipo wapate nafasi ya kucheza mpira huko Wesha Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
20 hours ago
0 Comments