Eneo la barabara ya Darajani likiwa katika hali ya utulivu na kupungua kwa msongamano wa magari katika eneo hilo tafauti na siku za nyuma eneo hili lilikuwa na msongamano wa magari kwa wakati wa asubuhi na mchana kwa sasa likiwa katika mandhari ya utulivu kwa wananchi wanaofika katika marikiti ya Darajani kufuata mahitaji yao.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
13 hours ago
0 Comments