Wananchi wa sehemu mbalimbali za Zanzibar na wageni waliofika Zanzibar wakiwa katika viwanja vya bustani ya forodhani wakisubiri kuukaribisha mwaka mpya na kuuaga mwaka 2016 katika viwanja hivyo kwa kupata vyakula mbalimbali vya kizanzibar katibu bustani hiyo. Usiku huu.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
10 hours ago
0 Comments