Meli ya Mizigo kutoka Nje ikiwa na Shehena ya Makontena ya Wafanyabiashara wa Zanzibar ikifunga gati katika bandari hiyo kwa ajili ya kushusha mizigo hiyo kwa mahitaji ya Wananchi wa Zanzibar. Kama inavyoonekana pichani ikifunga gati katika bandari hiyo.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
10 hours ago
0 Comments