Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe Rashid Ali Juma akiwa na Viongozi na Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Afrika Wanaosoma Kiswahili wakisimama wakati ukipigwa Wimbo wa Mataifa ya Afrika Mashariki wakati wa ufunguzi huo uliofanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Zanzibar.
MWENYEKITI WA WAZAZI TAIFA AWAASA VIONGOZI WA CCM NA JUMUIYA ZSKE KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
Na Victor Masangu, Kibaha
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amewaasa
viongozi wa chama cha mapinduzi (CCM) ngazi za Wilaya p...
5 hours ago
0 Comments