Vijana wa Mradi wa ACCRA wakiwa katika harakati za kuyafanyia matengenezo majengo ya Mji Mkongwe ili kuimarisha majengo hayo katika hifadhi yake na kuzidi kuvutia katika haiba yake ya zamani kama walivyokutwa vijana hawa wakiufanyia ukarabati mlango wa Zanzibar katika mtaa wa Hamamni.
SERIKALI YAPONGEZA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA KWA UJENZI WA KARAKANA YA
UZALISHAJI VIPURI
-
Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Arusha
SERIKALI imeipongeza Menejimenti na uongozi wa chuo cha ufundi Arusha
(ATC), kutokana na bunifu mbalimbali zinazoende...
10 hours ago
0 Comments