PIKIPIKI hii ambayo mtu aliyeiegesha hakujulikana mara moja, ilipata ajali ya kuangukiwa na matawi ya mti katika eneo la Majestic mjini Zanzibar mkabala na kituo cha Polisi, kama ilivyonaswa na kamera ya Zanzibar Leo jana asubuhi. (Picha na Salum Vuai).
KATIBU MKUU CCM AZUNGUMZA NA WABUNGE WA EALA TANZANIA.
-
DODOMA | 24 Julai 2026
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro,
amekutana na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki...
19 hours ago

0 Comments