Ujumbe wa wadi za Makunduchi katika kuitangaza Zanzibar kiutalii uliwazawadia watu wa Sundsvall mlango ambao ulipokelewa na mama Spika ndani ya baraza la manispaa ya Sundsvall (Sundsvall Municipal Assembly). Mlango huo ulitolewa kama zawadi ya watu wa Makunduchi kwa watu wa Sundsvall. Kwenye picha ni ndugu Mohamed Muombwa, ndugu Hafifth bin Ameir na diwani Zawadi. Aliyeshika mlango ni Spika,
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
19 hours ago

0 Comments