Baadhi ya Viongozi wa CCM wilaya ya Magharibi wakimsikiliza DK Shein katika ziara yake ya kuwashukuru
Dk Shein akisalimia moja katika burudani zilizoandaliwa wakati akiwasili
Dk Shein akisajili kitabu cha wageni huku akishuhudiwa na mkewe Mama Mwanamema Shein.
Viongozi waandamizi wa CCM pia walkuwepo, kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Saleh Ramadhan Feruzi na Bi Fatma Abdullah Juma
Dk Shein akiteta jambo na Naibu katibu mkuu wa CCM Saleh Ramadhan Feruzi.
Mama Mwanamwema Shein akiwasalimia WanaCCM wa wilaya ya magharibi
Baadhi ya viongozi wa Wilaya ya magharibi wakimsikiliza kwa makini DK Shein wakati akiwashukuru.
Picha zote na Ramadhan Othman.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
10 hours ago
0 Comments