Hapa ni Shangani ya Baghani; hii nyumba ya upande wa kushoto (kwenye waya wa vyumba-vyumba) ni nyumbani kwa dokta Duchi na huko anapoelekea anayeendesha vespa, ukipinda upande wa kulia unaelekea kwa Adinani muuza mbatata.
Hapo ni mji mkongwe :-)))))Makame bin Mchambawima
2 Comments
Hapa ni Shangani ya Baghani; hii nyumba ya upande wa kushoto (kwenye waya wa vyumba-vyumba) ni nyumbani kwa dokta Duchi na huko anapoelekea anayeendesha vespa, ukipinda upande wa kulia unaelekea kwa Adinani muuza mbatata.
ReplyDeleteHapo ni mji mkongwe :-)))))
ReplyDeleteMakame bin Mchambawima