Innallilahi Waina ilayhi Rajiuun. Mfanyakazi mwenzetu Ndg Jabir Ahmed Maulid wa Idara ya Diaspora amefariki jana jioni na maziko yake yatafanyika leo 27-3-2022 baada ya sala ya Adhuhuri Msikiti wa Mtendeni Wilaya ya Mjini Unguja na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Unguja.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
1 day ago

0 Comments