Katibu Mkuu Wizara ya Michezo Vijana Sanaa na Utamaduni Zanzibare Ndg. Omar Hassan King akisalimiana na Timu ya Vijana ya Central Timu ya Suhad AFC,wakatin wa ufunguzi huo wa mchezo wa kwanza kwa Timu za Central na Basketi Ball. Ufunguzi huo umezikutanisha Timu za Central za Suhad AFC na Befic na kwa upande wa Timu za Mpira wa Kikapu umezikutanisha Timu za New West ma Rangers.
KAMATI YA KITAIFA YA USIMAMIZI WA MAAFA YAIDHINISHA MPANGO WA DHARURA WA
TAIFA WA KUKABILIANA NA MADHARA YA EL NIÑO
-
Na.Mwandishi wetu - Dar es Salaam
Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango wa
Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara ya...
6 hours ago
0 Comments