Matayarisho ya Ujenzi wa Mabanda ya Maonesho ya Siku ya Sheria Duniani yatakayofanyika katika viwanja vya nje Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba, Yatakayoshirikisha Taasisi mbalimbali za Serikali, Mashirika ya Umma na Binafsi yanayotarajiwa kuaza kesho kwa ufunguzi wake kufunguliwa na Waziri wa Sheria Katiba na Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman, hapo kesho.
TAARIFA YA KUPOTEA KWA FARAJA NICODEMU MWALONGO MIAKA 33
-
Kwa masikitiko makubwa, familia ya Mr. & Mrs. Boniventura Mwalongo wa
Nsalaga, Mbeya, inatangaza kupotea kwa mdogo wao anayefahamika kwa jina la
Faraja N...
10 hours ago
0 Comments