Mchezaji wa Timu ya Zimamoto na KVZ wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Netiboli Kanda ya Unguja Mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana uliokuwa na ushindani mkubwa kwa pande zote pili kuoneshani uwezo. Timu ya Zimamoto imeshinda kwa tabu kwa mabao 41-40.
TAARIFA YA KUPOTEA KWA FARAJA NICODEMU MWALONGO MIAKA 33
-
Kwa masikitiko makubwa, familia ya Mr. & Mrs. Boniventura Mwalongo wa
Nsalaga, Mbeya, inatangaza kupotea kwa mdogo wao anayefahamika kwa jina la
Faraja N...
18 hours ago
0 Comments