Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania Bw. Wallace Karia akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 420 kutoka kwa kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya KCB Bi. Fatma Chilo baada ya kusaini mkataba wa udhamini kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es salaam katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya KCB Tanzania, Cosmas Kimario na kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Bw. Boniface Wambura
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya KCB Tanzania, Cosmas Kimario na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania Bw. Wallace Karia wakikabidhiana mkataba baada ya kusaini Udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania wenye thamani ya shilingi milioni 420 katika hoteli ya Serena leo jijini Dar es salaam kulia ni Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Bw. Boniface Wambura.
TAARIFA YA KUPOTEA KWA FARAJA NICODEMU MWALONGO MIAKA 33
-
Kwa masikitiko makubwa, familia ya Mr. & Mrs. Boniventura Mwalongo wa
Nsalaga, Mbeya, inatangaza kupotea kwa mdogo wao anayefahamika kwa jina la
Faraja N...
14 hours ago






0 Comments