Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Mahmoud Thabit Kombo akikabidhiwa funguo za magari 6 kwa ajili ya Wizara ya Afya Zanzibar, Gari 4 za Kubebea Wagonjwa na 2 kwa Ajili ya Uratibu wa Vifaa Tiba kwa Wizara ya Afya, akikabidhi magari haro Kaimu Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa Linaloshughulikia Idadi ya Watu Ulimwenguni (UNFPA) Dr. Hashima Begum. hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Wizara ya Afya Mnazi Mmoja Zanzibar.
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
-
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya MiXX imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya
"Kombe la Dunia ya Ikiingia Tu... Golii!", inayowapa nafasi ya kujis...
2 days ago
0 Comments